Mdau wa muziki wa mfanyabishara Petit Man ametoa amoni yake kuhusu Rapper Country boy kusainiwa na lebo ya Konde Gang iliyopo chini ya Harmonize. Patit amewajibu watu wanaodai kuwa Country boy ni msanii mkubwa na hakupaswa kusainiwa na Harmonize bora angeanzia lebo yake. Patit pia ameongeza kuwa katika wasanii wote wa Bongo Fleva ambao amewahi kuwa nao karibu hakuna msanii wmenye nidhamu kama Country boy pamoja an Younglunya.
18 Nation Media Online ni blogu inayoleta habari, maudhui ya burudani, na taarifa za kisasa kutoka duniani kote. Tunazungumzia kuhusu kila kitu kinachohusu wasanii, sinema, muziki, mitindo, na utamaduni wa kisasa. Kama unavyofahamu, dunia ya burudani inabadilika kila wakati, na 18 Nation Media Online ni jukwaa lako la kujua yaliyo moto katika sekta hii. Pamoja na makala za kina, mahojiano, na vipindi vya burudani, tunalenga kutoa maudhui ya kipekee na ya kuelimisha kwa wasomi wa kila umri. Hapa