SIWEZI KUFANYA COLLABORATION NA WA BONGO. Msanii maarufu hapa Africa Davido Amesema hajaona mwanamziki kutoka Bongo anayeweza kufanyanae Collabo na ikawa hit Song. Alipoulizwa Kuhusu Diamond Platnumz na Alikiba, Davido akasema hawezi Kufanya Collabo na wasanii hao kwani anajua wasanii hao wapo Level ya chini Sana. LIKE COMMENT SHARE KWENYE MAGROUP USISAHAU KULIKE PAGE HII SASA NI
18 Nation Media Online ni blogu inayoleta habari, maudhui ya burudani, na taarifa za kisasa kutoka duniani kote. Tunazungumzia kuhusu kila kitu kinachohusu wasanii, sinema, muziki, mitindo, na utamaduni wa kisasa. Kama unavyofahamu, dunia ya burudani inabadilika kila wakati, na 18 Nation Media Online ni jukwaa lako la kujua yaliyo moto katika sekta hii. Pamoja na makala za kina, mahojiano, na vipindi vya burudani, tunalenga kutoa maudhui ya kipekee na ya kuelimisha kwa wasomi wa kila umri. Hapa